Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya
Arusha(TANAPA) Betrita Loibook
akimuonesha Waziri Nyalandu mfano wa mtambo wa kufua umeme unaotazamiwa
kuwekwa katika hifadhi hiyo.
Mhifadhi Mkuu ,Hifadhi ya Taifa ya Arusha(ANAPA) Betrita Loibook akitoa taarifa ya Hifadhi hiyo kwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu. |
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mhifadhi Mkuu Arusha National Park,Betrita Loibook. |
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii
,Kanda ya kaskazini.
No comments:
Post a Comment