HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 27, 2014

HIVI NI LINI TUTAANZA KUWA NA USTAARABU WA KUTUMIA VIZURI BARABARA??

Hii katika barabara ya Shekilango rodi ambapo hiyo gari nyeusi (kulia) ilizipita gari nyingi zilizokuwa kwenye foleni huku akiwa anaona kabisa kuwa mbele kukoje.lakini kutokana na haraka zake akiona wenzie ni washamba wa matumizi ya barabara aliamua kufanya hivi.je huu ni ustaarabu kweli??
Alipoona anakaribia kukutana na lori akachomeka gari lake kwenye ile ile foleni tena na baadae akachomoka tena.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad