HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 6, 2014

malori yalipoamua kupigana pasi kimara jijini dar

Malori mawili yenye nambari za usajili T326 BGT na lingine lenye namba T 625 BYD yakiwa yamefunga njia baada ya kupigana pasi eneo la Kimara jijini Dar hivi karibuni.
Hivi ndivyo yanavyoonekana malori hayo kwa kutokea nyuma.
Ikalazimika magari mengine yanayoingia mjini yatumie njia moja kama inavyoonekana pichani.
Ujumbe katika moja ya malori hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad