HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 7, 2014

Wadau wa Ndovu Special Malt walivyojimwaya mwaya jijini Mbeya

Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli(wa pili kulia), akigonanija chupa za bia ya Ndovu Special Malt na wadau wa bia hiyo wakati wa hafla ya kupongezana baada ya bia hiyo kutwaa tuzo ya ubora wa kimataifa(Ndovu High Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa hivi karibuni.Hafla ilifanyika jijini Mbeya hivi karibuni.
Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli akizungumza na wadau wa bia hiyo wakati wa hafla ya kupongezana baada ya bia hiyo kutwaa tuzo ya ubora wa kimataifa(Ndovu High Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa hivi karibuni.Hafla ilifanyika jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.
Wadau wakipata Bia ya Ndovu Special Malt wakati wa hafla ya kupongezana baada ya bia hiyo kutwaa tuzo ya ubora wa kimataifa(Ndovu High Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa hivi karibuni.Hafla ilifanyika jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad