HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 7, 2014

UNHCR WAMKABIDHI GARI MPYA WAZIRI CHIKAWE, KWA AJILI YA IDARA YA WAKIMBIZI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Bi. Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akiifurahia gari mpya aina ya Toyota Land Cruiser baada ya kukabidhiwa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole (kushoto). 
Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad