HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 23, 2014

Ujumbe wa Uongozi wa Wiara ya Fedha Muungano wajitambulisha kwa Dk.Shein leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya Salum,(wa pili kulia) pamoja na Manaibu wake Adam Kigoma Malima na Mwigulu Lameck Nchemba,(kushoto) walipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya Salum,alipofika kujitambulisha na Manaibu wake Adam Kigoma Malima na Mwigulu Lameck Nchemba,(hawapo pichani) walipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar leo.{Picha na Ramadhan Othman Ikulu].

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad