HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 19, 2013

wazee wa Feva mnamuona huyu???

 Hivi inakuwaje mtu anaona kabisa kwamba hii taa ni nyekundu ikimaanisha ni hatari kwake na haruhusiwi kuivuka kwa hawakati huo, na huku akiona magari mengine yakitii amri hiyo na yeye akayapita na kuendelea na safari yake, ni kwamba anajua sana sheria za usalama barabarani, sheria na nchi iko chini yake au ni vipi??.maana kiukweli sikumuelewa kabisa dereva wa gari hili.

1 comment:

Post Bottom Ad