HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 23, 2013

MDAU FELIX MWAGARA NA MKEWE WALAMBA NONDOZZZZ CHUO KIKUU MZUMBE-KAMPASI YA DAR ES SALAAM

 Afisa Mawasiliano, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Felix Mwagara (kulia) na mai waifu wake  Lydia Mbonde baada ya kulamba Nondozzzz za  Uzamili ya MSc/HRM mara baada ya kutunukiwa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee ya Chuo Kikuu cha Mzumbe – Kampasi ya Dar es Salaam.
 Afisa Mawasiliano, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Felix Mwagara na mai waifu wake  Lydia Mbonde wakipokea zawadi mara baada ya kula Nondozzz ya  Uzamili ya MSc/HRM katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ya Chuo Kikuu cha Mzumbe – Kampasi ya Dar es Salaam.
Afisa Mawasiliano, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Felix Mwagara na mai waifu wake  Lydia Mbonde wakiwa katika picha ya pamoja na ndugu zao mara baada ya kulamba Nondozzz za Uzamili ya MSc/HRM katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ya Chuo Kikuu cha Mzumbe – Kampasi ya Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad