HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 6, 2013

KIDUMU AWASILI NCHINI TAYARI KWA ONYESHO LA CLUB E- LICENCE TOPARTY LITAKALOFANYIKA USIKU WA LEO MLIMANI CITY JIJINI DAR

Msanii wa Muziki kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidumu” akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere jana usiku kwa ajili ya kutumbuiza katika Shererhe ya “CLUB E”- LICENCE TO PARTY inayotarajiwa kufanyika usiku wa leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Msanii kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidumu” (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wake nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere sambamba na waimbaji wake kwa ajili ya kutumbuiza katika Shererhe ya “CLUB E” – LICENCE TO PARTY inayotarajiwa kufanyika usiku wa leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad