Leo asubuhi katika pita pita zangu za Mdau Atuza Nkurlu alikutana na foleni hii ndefu sana ya kununua nyama buchani,eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam.Hii yote ni kutokana na Maandalizi ya sikukuu ya Krismas inayotarajiwa kufanyika kesho Duniani kote.
Tuesday, December 24, 2013
Home
Unlabelled
Haya ndio mambo ya Bongo Dar es Salaam,Hata Buchani pia kuna Foleni
Haya ndio mambo ya Bongo Dar es Salaam,Hata Buchani pia kuna Foleni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment