HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 2, 2013

Timu ya Taifa ya Pool yapongezwa jijini Dar baada ya kufanya vyema nchini Malawi

Wachezaji wa timu ya Taifa ya Safari Pool wakiwa katika picha ya pamoja na medali zao za shaba wakati wa sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika Meeda Sinza Dar es Salaam jana, mara baada ya kurejea kutoka nchini Malawi kweny mashindano ya Pool ya Afrika ambapo walishinda nafasi ya tatu kwa Afrika.Kulia ni Meneja wa timu, Nabil Hiza.
Mchezaji wa timu ya taifa ya Safari Pool, Patrick Nyangusi akisalimia wapenzi na mashabiki wa mchezo huo (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili kwenye tafrija ya kupongezwa iliyokuwa imeandaliwa katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad