Mbunifu wa mavazi wa kutoka Tanzania,Sheria Ngowi (mwenye koti jeupe) akiwasalimia watazamaji waliofika kujionea Maonyesho ya Mavazi mbali mbali katika tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week lililofanyika usiku huu katika Ukumbi wa Jiji la Pretoria,nchini Afrika Kusini.Mavazi ya Mbunifu Sheria Ngowi yalionekena kupendwa sana na watazamaji hao (hawapo pichani),kwani ilikuwa kila vazi likipita walisikika wakipiga kelele za kushangilia.
Friday, November 1, 2013

Home
Unlabelled
tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week laendelea kwa siku ya pili jijini Pretoria,Afrika Kusini
tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week laendelea kwa siku ya pili jijini Pretoria,Afrika Kusini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment