HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 30, 2013

semina ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania yafanyika arusha

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mkuu wa Wilaya ya  Monduli  Mhe Jowika Kasunga akifungua semina ya siku moja ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha
 Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA injinia Aneth Matindi  akisoma taarifa ya mamlaka hiyo mbele ya waalikwa walioshiriki semina hiyo iliyoenda sambamba na maadhimisho ya miaka kumi ya mamlaka hiyo  kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha.
  Washiriki wa semina ya siku moja ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha
 Wadau katika  semina ya siku moja ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwenye hotel ya Naura Springs jijini Arusha
Picha ya pamoja ya wadau wa mawasiliano wakiwa na mgeni rasmi MheJowika kasunga na Meneja wa mamlaka hiyo kanda ya kaskazini injinia Aneth Matindi Picha zote na Mahmoud Ahmad, Arusha

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad