HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 17, 2013

NANI MTANI JEMBE YATIA FORA JIJINI ARUSHA

Kundi la Black Warriors likiendelea kutumbuiza kwenye kampeni ya ‘Nani Mtani Jembe Tour’ kwenye baa ya Tanzanite Park iliyopo Kimandoro, Arusha ambayo ipo kanda ya kaskazini na mashariki inayojumuisha pia mikoa, Kilimanjaro na Tanga ambapo mashabiki wa timu hizo wanatakiwa kuzipigia kura timu zao za Simba na Yanga ili zipate pointi nyingi zitakazowezesha kupata fedha nyingi.Jumla ya Tsh. 100Milioni kushindaniwa.
Wadau wa Simba na Yanga wakionyesha furaha zao wakati wa timu ya kampeni ya ‘Nani Mtani Jembe Tour’ ilipokuwa kwenye baa ya Tanzanite Park iliyopo Kimandoro, Arusha ambayo ipo kanda ya kaskazini na mashariki inayojumuisha pia mikoa, Kilimanjaro na Tanga ili kuhamasisha upigaji kura kwa mashabiki wa Simba na Yanga ili zipate pointi nyingi zitakazowezesha kupata fedha nyingi.Jumla ya Tsh. 100Milioni kushindaniwa.
Mshereheshaji wa kampeni ya ‘Nani Mtani Jembe Tour’, Pendo Robert akimvika jezi ya Simba, Frank James baada ya kushinda kwa kujibu maswali yanayohusiana na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kwenye baa ya Tanzanite Park iliyopo Kimandoro, Arusha ambayo ipo kanda ya kaskazini na mashariki inayojumuisha pia mikoa, Kilimanjaro na Tanga ambapo mashabiki wa timu hizo wanatakiwa kuzipigia kura timu zao za Simba na Yanga ili zipate pointi nyingi zitakazowezesha kupata fedha nyingi.Jumla ya Tsh. 100Milioni kushindaniwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad