Tuesday, November 5, 2013

Home
Unlabelled
KAMERA YA MTAA KWA MTAA NA TASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA DURBAN,NCHINI AFRIKA KUSINI
KAMERA YA MTAA KWA MTAA NA TASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA DURBAN,NCHINI AFRIKA KUSINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KIJANA KIMYA KIMYA
ReplyDeletekaka kama mwanamke umemuonyesha makalio tu,ili takiwa uonyeshe na picha za uswahilini
ReplyDeleteHongera kwa picha nzuri, kwani huko kwa wenzetu hakuna foleni, au ulienda Jumapili???
ReplyDeletekumbe foleni zipo, nilikuwa sijaona picha ya foleni. Ila pazuri, mjimzuri, umepangwa vizuri.
ReplyDeletewenzetu wako juu kwa kuwa wanachopanga wanakimaanisha
ReplyDeleteYaani hadi raha kwa wenzetu. kuzuri, sijawahi kufika Ulaya ila J'berg nimefika. Ninaamini hakuna cha zaidi utakachokiona Ulaya kuliko hivi tunavyo viona hapa.
ReplyDeleteBig up wazungu walojenga A.S. ndio maana hawataki kuondoka Bwana.
si mchezo
ReplyDeletewee dogo wacha mambo yako ya kariakoo, haya tukuone kesho utuwekee picha za uswazi ndani ya soweto wanakoishi ndugu zetu
ReplyDeletewazimbabwe waliomkimbia comrade Mugabe bado wanasota,nasi tunaiboresha bongo kwa miundombinu ya kasi,ukiulizia hayo magorofa mengine wenyewe wamiliki wachache tena wengi wanaishi ughaibuni
Mikidadi-Denmark
Chezea kwa Zulu Natal wewe, mwaka 1994 Mara ya kwanza nilikuwa pale ndugu nchi ilikuwa inanukia sio ss. Lkn bado nzuri
ReplyDeleteEhe ukitaka pia kariakoo itakate walete wazungu,kwani wenzetu sheria ikishatungwa ni lazima ifuatwe,na ukivunja sharia hukumu inapita,kwao sheria haiingiliwi na siasa.Tanzania tunapenda kujirekebishia sheria njiani,na siasa nyingi,vibanda vya machinga kila upande,uchafu kila kona.TUJIREKEBISHE NCHI YETU NI NZURI SANA MAZINGIRA NI BORA.
ReplyDelete