HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 19, 2013

hii ndio hali halisi katika eneo la soko la kariakoo jijini Dar

Hivi ndivyo hali halisi ilivyo katika eneo la Soko Kuu la Katiakoo jijini Dar es Salaam,baada ya wafanyabiashara kugomea kutokaka biashara zao zipitie kwenye mashine za kulipia Kodi zinazotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).Wafanyabiashara hao wameamua kufunga Maduka yao na kuweka mabango kama ionekanavyo pichani hapo yakiwa na ujumbe wa kupinga matumizi ya mashine hizo.
Leo ni siku ya pili kwa wafanyabiashara hao kugoma kufanya biashara,na pia huu ni mkoa wa nne sasa baada ya Mbeya,Morogoro na Mtwara.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad