Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi Serikalini (GEPF),Bw Anselim Peter (kulia) akitoa maelezo kwa vyombo vya habari (havipo pichani) juu ya mwelekeo mpya wa Mfuko huo wa GEPF baada ya kupata sheria mpya hivi karibuni,Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari maelezo jijini Dar es salaam.Kushoto ni Meneja wa Masoko na huduma kwa Wateja Bw Aloyce Ntukamazina
Friday, November 15, 2013
Home
Unlabelled
GEPF KUANZA KUTEKELEZA SHERIA MPYA WALIOIPATA HIVI SASA
GEPF KUANZA KUTEKELEZA SHERIA MPYA WALIOIPATA HIVI SASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment