HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 15, 2013

Wakazi wa Arusha wajitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Arusha Festival

  Wanafunzi walioshiriki katika Tamasha hilo wakiwa wamebeba bango linaloelezea Arusha Festive huku pikipiki,tarumbeta zikipamba siku hii katika eneo la Mnara wa saa jijini Arusha wakiwa wanaelekea katika uwanja wa General tyre.
Maandamano hayo yalipambwa na  farasi wawili waliokuwa kivutio kikubwa sana kwa wakazi wa jiji la Arusha na Viunga vyake huku magari,pikipiki,wanafunzi pamoja na wadau mbalimbali walishiriki katika Tamasha hilo
 Muonekano wa maandamano katika jiji la Arusha jana ikiwa ni tamasha la Arusha Festival lenye nia ya kumuhenzi baba wa Taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere lililofanyika katika uwanja wa General trye,waandaaji nikampuni ya  Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha wakishirikiana  na  Kibo Palace Hotel,Pepsi,KK security,Radio 5,Shed and Sons,Shining Stars,DSTV na Trinity.
 Vicky Mwakoyo ambaye ni Creative Meneja wa kampuni ya  Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha wakiwa katika picha ya pamoja na Sarah Keiya Meneja masoko wa kampuni katika uwanja wa General tyre
Wadau wa Tamasha hilo wakishoo love katika uwanja wa General trye huku michezo mbalimbali,ngoma za asili zikichukua nafasi yake katika sherehe za kumuenzi Baba wa Taifa,waandaaji nikampuni ya  Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha wakishirikiana  na  Kibo Palace Hotel,Pepsi,KK security,Radio 5,Shed and Sons,Shining Stars,DSTV na Trinity.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad