HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 25, 2013

Timu ya Taifa ya Pool yaendelea kujifua huko Mkoani Morogoro

Kocha wa Timu ya Taifa, Denis Lungu (kulia) akiwaelekeza jambo wachezaji wa timu ya Taifa ya mchezo wa Pool (Safari National Pool team) wakati wa mazoezi katika kambi inayoendelea mkoani Morogoro ya mchujo wa kupata wachezaji 8 kati ya 15,watakaowakilisha Tanzania katika fainali za Afrika zinazotarajiwa kufanyika nchini Malawi hivi karibuni.
 Kocha,Denis akielekeza jamabo.
Kikosi cha timu ya Taifa na baadhi ya viongozi.
Mchezaji, Solomoni Eliasi kutoka mkoani Mbeya akifanya mazoezi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad