HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 6, 2013

RAIS wa ZANZIBAR DK.SHEIN AFUTARISHA IKULU, UNGUJA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais Mstaaafu wa Zanzibar alhaj Dk.Amani Abeid Karume, baada ya futari aliyowaalika wananchi katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na wananchi katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja leo usiku,baada ya futari aliyowaalika katika mwezi huu wa Ramadhan
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkwe Mama Mwanamwema Shein,wakiagana na wananchi katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja leo usiku,baada ya futari waliyowaalika katika mwezi huu wa Ramadhan.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) akiwa na Viongozi wakati wa futari aliyowaalika katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar jana jioni.
 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi akina mama wakati wa Futari aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar 
 Baadhi ya Akina Mama walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,leo usiku katika viwanuja vya Ikulu Mjini Zanzibar
 Wananchi mbali mbali wa Manispaa ya Mji wa Unguja,waliohudhuria katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja 
 Wananchi mbali mbali wa Manispaa ya Mji wa Unguja,waliohudhuria katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja.Picha zote na Ramadhan Othman Ikulu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad