HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 31, 2013

Rais Shein wa Zanzibar amtembelea Mfugaji wa Ng'ombe wa Maziwa,nchini Uholanzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati) akifuatana na ujumbe wake walipotembelea katikaa kituo cha ufugaji wa ngombe wa maziwa kwa Familia ya Bw.Captein Nchini Uholanzi katika ziara ya Kiserikali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Frank Captein,wakati alipotembelea ndama wadogo jinsi wanavyolelewa katika famili ya BW.Captein,Nchini Uholanzi akiwa katika ziara ya kiserikali na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Frank Captein,namna ya utengeneza ji wa Jibini (Cheese)alipotembelea eneo hilo akiwa na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha habari kwa wafugaji wa Ngo'mbe wa maziwa Reimond Van Gent,alipofika kuangalia familia ya ufugaji wa Ngo'mbe wa maziwa na utengenezaaji wa Jibini (Cheese) akiwa katika ziara nchini Uhiolanzi .
Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,akitia saini na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya Shell ya uholanzi na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto)makubaliano ya ushiriano katika sekta ya gesi na mafuta katika ukumbi wa ofisi ya kampuni hiyo Mjini Uholanzi alipokuwa katika ziara ya Kiserikali,ujumbe ulioongozwa na Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.AliMohamed Shein.
Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,akibadilishana hati ya makubaliano baada ya kutia saini na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya Shell ya uholanzi na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto)makubaliano ya ushiriano katika sekta ya gesi na mafuta katika ukumbi wa ofisi ya kampuni hiyo Mjini Uholanzi alipokuwa katika ziara ya Kiserikali,ujumbe ulioongozwa na Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.AliMohamed Shein.[Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad