HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 7, 2013

PPF KANDA YA KINONDONI YAFUTARISHA WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA NEW LIFE ORPHANAGE, KIGOGO JIJINI DAR

Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Zahra Kayugwa, akigawa uji kwa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha New Orphanage, Kigogo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Kaimu Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Upendo Mazzuki, akigawa uji kwa watoto.
Watoto pamoja na walezo wa kituo cha kulea watoto yatima cha New Orphanage wakifuturu pamoja na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF.
Afisa wa Mfuko wa PPF, Kanda ya Kinondoni, John Nyalusi, akiwapa chakula watoto wakati wa futari.
Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Zainab Ndullah (Kushoto) na Nelu Mwalugaja, wakigawa chakula.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad