HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 8, 2013

NSSFyashinda tuzo ya mfuko bora katika maonyesho ya nanenane mkoani Dodoma

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii  (NSSF) yashinda tuzo ya mfuko bora katika maonyesho ya nanenane yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma katika viwanja vya Nzuguni, kushoto (mbele) ni Hafidh Y A, Chuga A, Kirondera N (Meneja wa Mkoa wa Dodoma) na Mpogole M, Kushoto (nyuma) Safina K na Amani M wakiwakilisha Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii Mjini Dodoma.
Timu ya NSSF waliowakilisha Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii katika maonyesho ya kitaifa ya Nanenane yaliyofanyika mkoani Dodoma, katikati ni Meneja wa mkoa (Kirondera N) akiwa ameshikilia kikombe baada ya kukabidhiwa na mratibu wa maonyesho hayo.
Picha ya hati na kikombe cha mshindi wa kwanza wa maonyesho ya Nanenane ya Kitaifa mkoani Dodoma
Meneja wa NSSF mkoa wa Dodoma ,Bw. Kirondera akishikilia kikombe na hati aliyokabidhiwa baada ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii kuwa mshindi wa kwanza katika maonyesho ya Nanenane yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad