HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 6, 2013

NSSF YAZIDI KUWAELIMISHA WANACHAMA WAKE FAIDA YA MFUKO HUO MAOENESHO YA NANE MJINI MOROGORO

 Afisa mwandamizi wa mafao katika mfuko wa NSSF Mkoa wa Morogoro Adolfrida Mulokozi akitoa elimu ya faida ya mfuko huo kwa wanachama wapya ndani ya viwanja vya  Mwalimu Julius Nyerere maarufu Nanenane nje kidogo ya Mji wa Morogoro pembeni ni mwenye T-shirt ya kijani ni mkuu wa idara ya uhusiano NSSF Taifa Eunice Chiume.
 MKUU wa idara ya Uhusiano NSSF Taifa Eunice Chiume (mwenye t-shirt ya kijani) akisikiliza malezo yanayotolewa kwa mmoja wa wanachama wa mfuko huo na Afisa mfawidhi Matekelezo NSSF Mkoa wa Morogoro Christopher Msagati  Katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere maarufu Nanenane nje kidogo ya Mji wa Morogoro.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad