Dj Jo akifanya vitu vyake katika ukumbi wa Karma Lounge ambao hupiga muziki kila Ijumaa anawakaribisha wadau wote wa DMV kwenda kwenye kiota hicho cha maraha na kupunguza stress kila Ijumaa.
DJ Jo "The CatDaddy" akifanya vitu vyake ambaye pia hupiga kwenye FM Radio maarufu Dc WKYS 93.9.
Umati wakiruka ngoma.
Bango la WKYS 93.9 radio anayofanya kazi Dj Jo.
Dj Jo akiwa na captain Solomon.
Mitambo ya Dj Jo.
Mdau Sunday Shomari akipata wasaa wa kung'aa na Dj Jo.
DJ Jo "The CatDaddy" akifanya vitu vyake ambaye pia hupiga kwenye FM Radio maarufu Dc WKYS 93.9.
Umati wakiruka ngoma.
Bango la WKYS 93.9 radio anayofanya kazi Dj Jo.
Dj Jo akiwa na captain Solomon.
Mitambo ya Dj Jo.
Mdau Sunday Shomari akipata wasaa wa kung'aa na Dj Jo.


No comments:
Post a Comment