HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 23, 2013

Mh. Lowassa akutana na muhubiri wa kimataifa.Daniel Kolenda jijini dar

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa na muhubiri wa kimataifa.Daniel Kolenda ambaye ni mtoto wa muhubiri wa kimataifa kutoka Ujerumani Renhard Bonnke,katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.Muhubiri huyo na kundi lake walimualika Mh Lowassa na mkewe kwa chakula Cha jioni.
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli Mh Edward Lowassa na mkewe mama Regina Lowassa wakiwa pamoja na wahubiri wa kimataifa kutoka Ujerumani Daniel Kolenda na Peter Kedenberg,mara baada ya chakula Cha jioni kwenye hoteli ya Serena ambapo wahubiri hao walimwalika Mh Lowassa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad