HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 28, 2013

MDAU BOKHE ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE

Bokhe akikata keki kama ishara ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake katika hafla fupi ya chakula cha jioni iliyofanyika Kebbys Hotel Mwenge jijini Dar es salaam jana ambapo alijumuika na marafiki zake pamoja na baadhi ya ndugu zake. 5Hapa akimlisha keki rafiki yake Sinta 4Hapa akimlisha keki ndugu yake Getu 3Akimlisha keki ndugu yake Winnie
15Akimlisha keki rafiki yake Sauda wa Nguvu  13Story kidogo kabla ya kukata keki   9Bokhe kulia Winnie Kushoto na Getu wakipozi kwa picha. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad