Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akionesha Bastola aina ya RAM P.9X19 zikiwa na risasi tatu (3) ndani ya Magazine mbele ya waandishi waliokuwepo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Makao makuu ya Polisi Augost 7, 2013.jijini D ar es salaam,baada ya kuendesha msako mkali na kufanikiwa kuzikamata pamoja na kukamatwa kwa watuhumiwa 196 kwa makosa mbalimbali na kukamata magari saba(7)na Bajaji moja ya miguu mitatu.
Baadhi ya waandishi wa habari walioudhuria kwenye mkutano huo le Augost 7, 2013makao makuu ya polisi jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment