HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 30, 2013

Angalia Bongo Views Mada kuhusu Madawa ya Kulevya

Kipindi cha cha BONGO VIEWS ndani ya Global Entertainment and News Network (GENN) iliyopo Kansas City nchini Marekani, siku ya jumamosi Aug 24, 2013 kilizungumzia kuhusu athari za  madawa ya kulevya Nchini Tanzania
Kipindi cha Bongo Views kitaendele tena hewani LIVE wiki hii siku ya Jumamosi Aug 30, 2013 MIDA ya Saa 5: PM kwa Saa za Marekani ya kati. Saa 6:PM jioni kwa Saa za EST US. Na Tanzania Saa 1:AM Usiku kwa wale wanaopenda kukesha wasikose kutembelea. 
 MADA: KUHUSU MUUNGANO
kuchangia kwa njia ya simu ..Utapiga simu number (913) 662-1190

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad