HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 5, 2013

ZIARA YA WAZIRI MKUU WILAYANI MAKETE,YAFANYA BARABARA KUANZA KUPIGWA SOP SOP

 Ukarabati wa barabara ya Ipelele - Bulongwa wilayani Makete unaendelea kwa kasi kama unavyoona hali inayohusishwa na ujio wa waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda ambaye anatarajiwa kuja makete Julai 8 mwaka huu, na anatarajiwa kupita kwenye barabara hii
 Kazi imepamba moto kama unavyoona mpendwa msomaji
 Baada ya greda kupita ndio iko hivi, je pakishindiliwa fresh, si ndio kama mkeka vileeeee
Hongera serikali kwa kuliona hilo na kuikarabati barabara hii ambayo inategemewa kwa kuwa ni kiunganishi kizuri cha wilaya ya Makete na mkoa jirani wa Mbeya (Picha na Edwin Moshi, Makete)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad