HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 26, 2013

WANAHABARI WALIOSHINDA TUZO ZA HABARI ZA TANAPA WAENDELEA NA ZIARA YA KUJIFUNZA UTALII NCHINI AFRIKA KUSINI

Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mheshimiwa Radhia Msuya akizungumza na wanahabari walioshinda Tuzo za Habari za TANAPA waliomtembelea ofisini kwake jijini Pretoria.
Wanahabari walioshinda Tuzo za Habari za TANAPA katika picha ya pamoja na Balozi Radhia Msuya (wane kushoto). Wengine katika picha ni Jasper Masika Mtanzania anayeishi Afrika Kusini, Phinias Bashaya wa Mwananchi, Pascal Shelutete Meneja Uhusiano TANAPA, Lilian Shirima (TBC) , Alex Magwiza (TBC), Albano Midelo (Nipashe) na Afisa wa Ubalozi.
Wanahabari walioshinda Tuzo za Habari za TANAPA katika picha ya pamoja nje ya Hospitali ya Med Clinic alikolazwa Rais wa Kwanza Mzalendo Nelson Mandela akiendelea na matibabu.
Wanahabari walioshinda Tuzo za Habari za TANAPA katika picha ya pamoja nje ya Kijiji cha Makumbusho cha Lesedi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad