HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 1, 2013

SHILOLE NA MASANJA WAHUDHURIA TAMCO FAMILY DAY DMV

Shilole (kati) akipata picha ya pamoja na Bwn. Idd Sandaly(kushoto) Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa kiswahili Marekani litakalofanyika Jumamosi July 6, 2013 Capitol Heights, Maryland. Kulia ni mwenyekiti wa kamati hiyo ya maandalizi, Bwn. Baraka Daudi.
Katibu wa kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili Marekani, Bi. Asha Nyang'anyi katika picha ya pamoja na Shilole kwenye TAMCO famuly day iliyofanyika Jumapili June 30, 2013.
Halima Ali (kati) akipata picha ya pamoja na Masanja Mkandamizaji na Shilole.
Wadau wa DMV wakipata picha ya pamoja na Shilole na Masanja.
Muhtar akipata picha ya pamoja na Masanja. 
Mrs Haward katika picha ya pamoja na Masanja na Shilole.
Wadau katika picha ya pamoja na Shilole.
Mr & Mrs Sebo wakipata Ukodak moment na Shilole.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad