HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 13, 2013

Rais Kikwete akutana na washiriki wa kwanza 20 na wakufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College) ikulu jijini dar

Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya bilauli toka kwa Mkuu wa Chuo cha UIinzi (National Defence College) Meja Jenerali Charles Makalala wakati washiriki wa kwanza 20 na wakufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo July 12, 2013, ikiwa ni wiki moja tu kabla ya kuhitimu mafunzo yao hayo ya mwaka mmoja. Rais Kikwete aliwapongeza washiriki hao pamoja na wakufunzi wao kwa mafanikio mazuri ya chuo hicho cha kipekee kinachojumuisha washiriki kutoka vikosi vya ulinzi na usalami pamoja na taasisi za serikali.
Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya nembo toka kwa Mkuu wa Chuo cha UIinzi (National Defence College) Meja Jenerali Charles Makalala wakati washiriki wa kwanza 20 na wakufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo July 12, 2013, ikiwa ni wiki moja tu kabla ya kuhitimu mafunzo yao hayo ya mwaka mmoja. Rais Kikwete aliwapongeza washiriki hao pamoja na wakufunzi wao kwa mafanikio mazuri ya chuo hicho cha kipekee kinachojumuisha washiriki kutoka vikosi vya ulinzi na usalami pamoja na taasisi za serikali.
Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na washiriki wa kwanza 20 na wakufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo July 12, 2013, ikiwa ni wiki moja tu kabla ya kuhitimu mafunzo yao hayo ya mwaka mmoja. Rais Kikwete aliwapongeza washiriki hao pamoja na wakufunzi wao kwa mafanikio mazuri ya chuo hicho cha kipekee kinachojumuisha washiriki kutoka vikosi vya ulinzi na usalami pamoja na taasisi za serikali.
Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kwanza 20 na wakufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College) waliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo July 12, 2013, ikiwa ni wiki moja tu kabla ya kuhitimu mafunzo yao hayo ya mwaka mmoja. Rais Kikwete aliwapongeza washiriki hao pamoja na wakufunzi wao kwa mafanikio mazuri ya chuo hicho cha kipekee kinachojumuisha washiriki kutoka vikosi vya ulinzi na usalami pamoja na taasisi za serikali.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad