HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 22, 2013

Rais Kikwete ampongeza Askofu Mkude kutikiza miaka 25 ya Uaskofu

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Telesphori Mkude wa jimbo katoliki Morogoro wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 25 ya Uaskofu wake (Silver Jubilee)zilizofanyika katika viwanja vya St.Peters junior Seminary mjini Morogoro leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu Katoliki wakati wa maadhimisho ya Sherehe za Miaka 25(Silver jubilee) ya Uaskofu wa Askofu Telesphori Mkude wa jimbo Katoliki Morogoro zilizofanyika katika Viwanja vya Seminary ya St.Peters mjini Morogoro leo.(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad