HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 20, 2013

kamera ya mtaa kwa mtaa na matukio mbali mbali ya eneo la mnadani mkoani dodoma leo

 Katika katiza katiza zangu za kila siku katika kuendeleza Libeneke la Mtaa kwa Mtaa,leo nimeibukia katika eneo hili la Msalato a.k.a Mnadani Mkoani Dodoma ambapo hapa ni sehemu maarufu sana kwa uchomaji wa Nyama kama ionekanavyo pichani hapa nikisubiria kitu cha jikoni nikiwa sambamba na Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukondo.yafuatayo ni matukio mbali mbali ya eneo hilo.
 Mara kamera ya Mtaa kwa Mtaa ikamnasa Mzee Phocus Laswai akicheki kitu fresh toka jikoni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad