Katika katiza katiza za Mtaa kwa Mtaa asubuhi hii ya Jumatatu,Kamera yetu ilifanikiwa kuinasa taswira ya mdau huyu aliekuwa amebeba shehena ya Mapipa (sijui yalikuwa na nini ndani yake) akitoka nayo maeneo ya Keko,Temeke.hii inaonyesha dhahiri kwamba siku ya Jumatatu kama ya leo ni siku ya mapambano na kuhangaika ili kuweza kujitafutia riziki.
Monday, April 15, 2013

Home
Unlabelled
Jumatatu nyingine ya mapambano a.k.a blue Monday
Jumatatu nyingine ya mapambano a.k.a blue Monday
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment