HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 8, 2013

Waziri Mwakyembe akutana naWananchama wa Wakala wa Forodha na Uondoshaji Shehena Tanzania (TAFFA) jijini Dar leo

 Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe(Mwenye suti nyeusi), akiteta jambo na viongozi wa  Wakala wa  Forodha na Uondoshaji Shehena Tanzania(TAFFA)  leo wakati wa mkutano wake na Wananchama wa wakala hiyo.
 Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo kwa wanachama wa wakala wa  forodha na uondoshaji shehena Tanzania(TAFFA) leo Mchana wakati alipokutana nao katika ukumbi wa Karimjee.
 Wananchama wa Wakala wa Forodha na Uondoshaji Shehena Tanzania (TAFFA), wakimsikiliza Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani), Wakati alipokuwatana nao leo mchana katika ukumbi wa Karimjeee. Waziri wa Uchukuzi amewaagiza wananchama hao kuhakikisha wanawaondoa mawakala ambao wanawaharibia sifa yao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad