HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 6, 2013

Waziri Mkuu wa Denmark Awasili nchini leo

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jioni hii
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt wakipokea heshima za nyimbo za Taifa pamoja na saluti ya mizinga 21  katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jioni ya hii.
 Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake
 Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt na mwenyeji wake wakifurahia burudani mbalimbali zilizokuwa zikitolewa uwanjani hapo.
 Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt akipkea shada la maua.
Waziri mkuu wa Denmark Mhe. Helle Thorning-Schmidt akisalimiana na kinamama waliofurika uwanjani kumlaki. Picha na Freddy Maro - Ikulu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad