Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso Akibandika moja ya kipeperushi cha Airtel yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Airtel Tanzania,Sunil Colaso akiongea na meneja wa Uhusiano wa 
Airtel Tanzania,Jackson Mmbando wakati wafanyakazi wa Airtel 
walipotembelea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo huduma 
mpya ya Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei 
moja.
Mkurugenzi
 wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya akimpa 
maelekezo ya huduma ya Airtel Yatosha mmoja wa wateja wa Airtel 
alietambulika kwa jina la Juliana wakati wafanyakazi wa Airtel 
walipotembelea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo huduma 
mpya ya Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei 
moja.
Afisa
 Mauzo wa Airtel bi Theresia Kimaro Akiongea na wateja juu ya huduma ya 
Airtel yatosha wakati Airtel walioko Magomeni na kutoa elimu juu ya 
huduma mbalimbali ikiwemo ya Airtle yatosha.
Mkuu
 wa Kitengo cha Mauzo na Usambazaji wa Airtel Tanzania,Godfrey Mugambi 
akimsajili mtenja mpya wa Airtel,Mzee Jumanne Ally mkazi wa Namanga 
Msasani wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wao na kutoa 
elimu ya huduma zao ikiwemo ya Airtel Yatosha.
Mkurugenzi
 wa kitengo cha Mauzo Mustapha Kapasi( kushoto) pamoja na Gaspa Mroso 
waakiongea na wateja wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja 
wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha.
Meneja
 wa kitengo cha network, Emmanuel Luanda akisajili wateja kwenye huduma 
ya Airtel Yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake 
na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha mwishoni mwa wiki 
hii.



No comments:
Post a Comment