HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 26, 2013

Uzinduzi wa huduma ya Airtel Yatosha wafanyika vyema jijini Dar na sasa wahamia mikoani

Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso Akibandika moja ya kipeperushi cha Airtel yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,Sunil Colaso akiongea na meneja wa Uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo huduma mpya ya Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya akimpa maelekezo ya huduma ya Airtel Yatosha mmoja wa wateja wa Airtel alietambulika kwa jina la Juliana wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo huduma mpya ya Airtel Yatosha inayompa mteja, Simkadi moja, taifa moja na bei moja.
Afisa Mauzo wa Airtel bi Theresia Kimaro Akiongea na wateja juu ya huduma ya Airtel yatosha wakati Airtel walioko Magomeni na kutoa elimu juu ya huduma mbalimbali ikiwemo ya Airtle yatosha.
Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na Usambazaji wa Airtel Tanzania,Godfrey Mugambi akimsajili mtenja mpya wa Airtel,Mzee Jumanne Ally mkazi wa Namanga Msasani wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo ya Airtel Yatosha.
Mkurugenzi wa kitengo cha Mauzo Mustapha Kapasi( kushoto) pamoja na Gaspa Mroso waakiongea na wateja wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wao na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha.
Meneja wa kitengo cha network, Emmanuel Luanda akisajili wateja kwenye huduma ya Airtel Yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembea wateja wake na kutoa elimu ya huduma zao ikiwemo Airtel Yatosha mwishoni mwa wiki hii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad