HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 26, 2013

DStv yazidi mwaga mamilioni kwa wateja wake

Bwana George Hellar (wa pili kulia) akipongezwa na Meneja Uendeshaji wa DStv Tanzania,Baraka Shelukindo (kushoto) kwa kushinda malipo ya mwezi ya mwaka mzima kwenye shindano la DStv Rewards. Wiki hii wateja wa DStv watapata fursa ya kushinda kitita cha Tshs 10,000,000 katika droo itakayochezeshwa Alhamisi. DStv wamekua wakitoa Tshs 5,000,000 kwa wateja wao waliokuwa wakilipia akaunti zao za DStv kabla ya kumalizika muda wake.Wengine pichani ni Meneja Masoko wa DStv Tanzania,Furaha Samalu (kulia) na Meneja Uhusiano wa DStv Tanzania, Barbara Kambogi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad