Ujenzi wa vyoo vya kisasa katika shule ya msingi Ukwama wilayani makete mkoani Njombe ukiendelea kwa kasi kama unavyoonekana pichani.ujenzi huo umefadhiliwa na shirika la AMREF kwa kushirikiana na wananchi wa kijiji hicho.Picha na Edwin Moshi,Mtaa kwa Mtaa Blog-Makete.
Saturday, March 30, 2013

Home
Unlabelled
UJENZI WA VYOO VYA KISASA KATIKA SHULE YA MSINGI UKWAMA WAKARIBIA KUMALIZIKA
UJENZI WA VYOO VYA KISASA KATIKA SHULE YA MSINGI UKWAMA WAKARIBIA KUMALIZIKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment