Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd,Absalon Kibanda akipakiwa kwenye ndege ya Kampuni ya Flightlink tayari kwa safari ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa Matibabu baada ya kuvamiwa usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana na kujeruhiwa vibaya,alipokuwa akirudi nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Wednesday, March 6, 2013

Home
Unlabelled
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalon Kibanda apelekwa Afrika Kusini kwa Matibabu zaidi
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalon Kibanda apelekwa Afrika Kusini kwa Matibabu zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment