HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 6, 2013

msama promotions yawataja wasanii watakaotumbuiza tamasha la pasaka machi 31

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha la Pasaka kutoka Kampuni ya Msama Promotions Ltd,Bwa.Alex Msama,akizungumza mbele ya Wanahabari (hawapo pichani) ,mapema leo kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar kuhusiana na mchakato mzima wa tamasha la pasaka na kuwataja wasanii mbalimbali watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo ambalo limekuwa liwavutia wengi,ambapo mwaka huu limebeba ujumbe wa kuhimiza suala la amani na utulivu katika nchini yetu,tamasha hilo linatarajia kufanyika Machi 31 ndani ya uwanja wa Taifa na baadae kufanyika kwenye mikoa mingine kama vile Mbeya,Dodoma,Mwanza na Iringa.Kumsikiliza zaidi bofya video hapa chini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad