HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 11, 2013

Michezo ya Watoto

Watoto uwaleavyo ndivyo wakuavyo-watoto wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam wakishiriki kucheza bao la mchangani kama walivyonaswa na kamera yetu ya mtaa kwa mtaa.
Watoto wa Gongo la Mboto wakicheza mchezo wa mdako.Picha na Mdau Mtaa kwa Mtaa Blog,Dotto Mwaibale.

1 comment:

Post Bottom Ad