HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 29, 2013

FM academia ndani ya East 24 jijini Dar usiku huu

 Wanamuziki wa Bendi ya FM Academia Wazee wa Ngwasuma,chini ya Uongozi wake Prezidaa Nyoshi El Sadat (katikati) wakionyesha umahiri wao wa kuyarudi magoma wakati wa Onyesho lao la kutambulisha nyimbo zao mpya,lililofanyika usiku huu kwenye Kiota cha East 24,Mikocheni jijini Dar es Salaam.FM Academia wameangusha show babkubwa kwa wapenzi na Mashabiki wao walifika kwenye kiota hicho.Onyesho hili limedhaminiwa na Kampuni ya Mabibo kupitia bia yake ya Windhoek.
 Kiongozi wa Bendi ya FM Academia,Prezidaa Nyoshi El Sadat (kati) akiimba sambamba na wenzake wakati wa onyesho hilo.
 Madansa wa FM Academia wakionyesha manjonjo yao.
Rapa wa FM Academia,Kalala Junior akiwajibika.
Kila kazi na Manjonjo yake,hapa ni Mpiga tumba wa FM Academia akiruka juu huku akiendelea kujipiga ngoma,

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad