HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 16, 2013

Coca-Cola waja na kinywaji kipya cha Coca-Cola Zero

 Mkurugenzi Mkuu wa Coca-Cola Kwanza,Basil Gadzios akizungumza na wageni waalikwa mbali mbali (hawapo pichani) waliofika kwenye hafla ya Uzinduzi wa kinywaji kipya cha Coca-Cola Zero ambacho hakina sukari kabisa,uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro Kempiski,Jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Coca-Cola Tanzania,Maurice Njowoka akiongea na waandishi wa habari juu ya Uzinduzi wa kinywaji kipya cha Coca-Cola Zero ambacho hakina sukari kabisa,uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro Kempiski,Jijini Dar es Salaam.
 Moja ya vibwagizo wakati wa Uzinduzi huo wa kinywaji kipya cha Coca-Cola Zero ambacho hakina sukari kabisa,uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro Kempiski,Jijini Dar es Salaam.
 Sasa imezinduliwaaaaaa.......
Madansa waliopamba uzinduzi huo wakifanya mambo yao.
 Baadhi ya wageni waalikwa waliofika kwenye Uzinduzi huo wa kinywaji kipya cha Coca-Cola Zero ambacho hakina sukari kabisa,uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro Kempiski,Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad