HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 11, 2013

WATEJA WA REDDS WAENDELEA KUJIPATIA ZAWADI MSIMU HUU WA SIKUKUU YA WAPENDANAO.

Mmoja wa wateja waliojitokeza kwenye meza ya Redds Mlimani City kununua kinywaji hicho ni pamoja na Mr.Kim maarufu kwajina la Ticha anaejulikana sana kwa uwezo wa kuigiza matangazo ya elimu kwenye Runinga, ambaye nae aliungana na watanzania wanaojitokeza kupata zawadi za kinywaji hicho kwenye msimu huu wa sikukuu ya wapendanao.
Mmoja wa wateja wa kinywaji cha Redds akipokea kinywaji hicho kutoka kwa Mhudumu wa Redds alioko Mlimani City jijini Dar es Salaam ambako zawadi mbalimbali zinatolewa kwa wateja wa kinywaji hicho.
Baadhi ya wateja waliojitokezakujipatia kinywaji hicho wakipokea baada ya kununua
.
Mteja wa Redds akifurahia kifurushi cha Redds chenye zawadi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad