HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 11, 2013

Mdau Gustav Mwaifunga na Bi. Dorcas Dominic wameremeta leo jijini Dar

Mdau Gustav  Mwaifunga na Bi. Dorcas Dominic Kyoba wamemeremeta na kuwaka waka leo jijini dar es Salaam baada ya wote kwa pamoja kuamua kuamua kuachana na chama cha makapera.Mdau Gustav ni Muajiriwa wa kampuni ya MultiChoice Tanzania.
Maharushi wakiwa kwenye gari yao tayari kwa safari ya kwenda mnusoni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad