| Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Addo Mapunda (aliyekaa kushoto)akitiliana
saini na Bi Anne Devilliers, Mratibu wa Mradi wa mpango wa ufundishwaji
wa Lugha ya Kingereza kwa njia ya teknolojia ya kisasa (Techonologe
Enhanced Edcation) TEE-TZ chini ya ufadhili wa kampuni ya Pan African
Energy, inayojishughulisha na kazi ya uchimbaji, usambazaji na uuzaji
wa gesi asilia ya Songosongo |
No comments:
Post a Comment