HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 21, 2013

BENDI YA SKYLIGHT YATAMBULISHA WIMBO WAO MPYA

Meneja wa bendi ya Skylight, Anneth Kushaba a.k.a AK 47 akiongea na waandishi wa habari wakati wakitambulisha wimbo wao mpya uitwao 'Nasaka Dhoughs'. Pembeni ni mwimbaji mwenzake Joniko flower. Utambulisho huo ulifanyika leo katika kiota cha Thai Village jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa bendi ya Skylight, Anneth Kushaba a.k.a AK 47 akisisitiza jambo. Bendi yetu iko katika hatua za mwisho za kumalizia Album yetu yenye nyimbo nane na zote kali. Kwa sasa wameshatoa nyimbo mbili: Wivu na Carolina na leo wametambulisha wimbo wao wa tatu uitwao 'Nasaka Dhoughs'.
Waimbaji wa bendi ya Skylight wakiwasha moto mbele ya waandishi wa habari wakati wakifanya utambulisho wa wimbo wao mpya uitwao 'Nasaka Dhoughs'.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad